Marekani: Mamlaka za Baltimore zasitisha shughuli za kutafuta manusura wa ajali ya meli

Your browser doesn’t support HTML5

Gavana wa Jimbo la Maryland, Wes Moore, ameweka wazi kuwa hapakuwa na kitendo chochote cha kigaidi baada ya daraja kuu katika mji wa Baltimore kubomoka Jumanne asubuhi wakati meli iliyobeba mizigo kugonga nguzo yake.