ratiba ya matangazo
06:00 - 06:29
DRC na Rwanda zakubaliana kupunguza uhasama
Rwanda na Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo zimekubaliana kupunguza uhasama kufuatia wiki kadhaa za mvutano mkubwa juu ya mapigano ya waasi mashariki mwa DRC, ofisi ya rais wa Congo imesema Jumatano baada ya mazungumzo kati marais wa nchi hizo mbili chini ya upatanishi wa rais wa Angola.
16:30 - 17:00
Siku ya Kimataifa ya Kiswahili yaadhimishwa kwa hafla mbalimbali
Kufuatia Shirika la Elimu na Sayansi la Umoja wa Mataifa, UNESCO, kutenga tarehe 7 mwezi Julai kama siku ya kimataifa ya kukienzi Kiswahili, maadhimisho ya mwaka wa kwanza yalifanyika Alhamisi katika maeneo mbalimbali ulimwenguni, ambapo hafla nyingi zilifanyika kote duniani.