Akiwa katika siku ya pili ya ziara yake ya Uganda Pape Francis ameongoza misa yake ya kwanza nchini humo, na kuzungumza na vijana, akisena dunia inaiangalia Afrika kama bara la matumaini.
Papa Francis azungumza na Waganda

1
Papa Francis akiwasalimia watoto kwenye nyumba ya wazee Nalukokongo

2
Papa Francis yuko kwenye ziwa takatifu la Namugongo

3
Vijana wa Uganda wanamsubiri Papa kuwasili Kolo kuwahutubia

4
Wagombea kiti cha rais Uganda Mbabazi na Besigye wakizungumza kabla ya Papa kuwasili Namugongo
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017