Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Septemba 30, 2025 Local time: 19:24

Kampuni ya Uber yasitisha huduma zake Tanzania


Kampuni ya Uber yasitisha huduma zake Tanzania
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Uber imetangaza kusitisha huduma zake nchini Tanzania, ikitaja nauli elekezi za Mamlaka ya udhibiti usafiri ardhini -LATRA kama sababu ya maamuzi hayo na kudai itarejesha huduma zake kwa nchi hiyo iwapo sheria zitabadilishwa.

XS
SM
MD
LG