Baadhi ya Waislam katika maneo mbalimbali duniani wameanza kusherehekea Eid Ul-Fitr, sikukuu inayomaanisha kumalizika kwa mfungo baada ya mwezi mtukufu wa Ramadhan, wakati ambapo gharama ya maisha imependa kwa kiwango kikubwa.
Baadhi ya Waislam katika maneo mbalimbali duniani wameanza kusherehekea Eid Ul-Fitr, sikukuu inayomaanisha kumalizika kwa mfungo baada ya mwezi mtukufu wa Ramadhan, wakati ambapo gharama ya maisha imependa kwa kiwango kikubwa.