Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Septemba 29, 2025 Local time: 06:35

Wazazi nchini Kenya walalamikia hali ngumu ya kiuchumi wakati wanafunzi wanapo fungua shule.


Wazazi nchini Kenya walalamikia hali ngumu ya kiuchumi wakati wanafunzi wanapo fungua shule.
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Baadhi ya wazazi wanasema kwamba hali ngumu ya kiuchumi kutokana na kupanda kwa bei za bidhaa, kampeni zinazoendelea , pamoja na muda mfupi wa likizo zimesababisha hali hiyo.

XS
SM
MD
LG