Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Septemba 19, 2025 Local time: 12:16

DRC kuhamisha ubalozi wake wa Israeli kutoka Tel Aviv hadi Jerusalem


DRC kuhamisha ubalozi wake wa Israeli kutoka Tel Aviv hadi Jerusalem
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo itahamisha ubalozi wake wa Israeli hadi Jerusalem kutoka Tel Aviv, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alisema Ijumaa.

XS
SM
MD
LG