Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Septemba 17, 2025 Local time: 18:22

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken akutana na Rais wa Mamlaka ya Palestina Mohamoud Abbas.


Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken akutana na Rais wa Mamlaka ya Palestina Mohamoud Abbas.
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken alijadili mageuzi ya kiutawala na Rais wa Palestina Mahmoud Abbas wakati wa mkutano wao leo Jumatano katika Ukingo wa Magharibi, pamoja na juhudi za kuimarisha misaada ya kibinadamu kwa watu wa Ukanda wa Gaza.

XS
SM
MD
LG