Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Agosti 24, 2025 Local time: 20:27

Marekani imesema haihusiki na mauaji ya kiongozi wa Hamas


Marekani imesema haihusiki na mauaji ya kiongozi wa Hamas
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Serikali ya Marekani imesema kuwa haihusiki na mauaji ya kiongozi wa kisiasa wa kundi la Hamas Ismail Haniyeh aliyeuwawa jana nchini Iran.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG