Pia utaweza kupata ushahidi mwingine kutoka kwa Shirika la Wanawake lisilokuwa la kiserikali linalotetea maslahi ya uchumi wa Zambia na usawa wa kijinsia wakieleza changamoto zinazowakabili wanawake nchini humo. Juliet Chibuta, mkurugenzi mtendaji wa Taasisi ya National Women Lobby anatoa kwa muhtasari yale ambayo yamekuwa ni faraja kwao kutokana na ufisadi kudhibitiwa nchini Zambia.
Je, ni alama zipi zinaifanya Zambia kuwa imeimarika katika kukabiliana na hujuma za ufisadi?
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025
Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025
Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.
Forum