Wakati uamuzi wa mahakama ukisubiriwa maafisa wengine wanawasiwasi kuwa miji yao inaweza kuzidiwa iwapo wahamiaji zaidi watatokea. Ungana na mwandishi wetu akikuletea hali ilivyokuwa wakati wa sherehe za Krismas kwa wakimbizi ambao bado hatma yao haijajulikana...
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC