Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Mei 18, 2025 Local time: 21:56

Russia yazuia misaada ya kibinadamu kuwafikia wananchi wa Ukraine


Russia yazuia misaada ya kibinadamu kuwafikia wananchi wa Ukraine
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:20 0:00

Ukraine imesema Alhamisi Moscow imekataa kuruhusu huduma za kibinadamu kuokoa maelfu ya raia waliokwama katika maeneo yenye mashambulizi wakati pande zinazopingana zilishindwa kufanya chochote katika mazungumzo ya ngazi ya juu tangu Russia ilipoivamia Ukraine.

XS
SM
MD
LG