Kikundi cha G7 kinajumuisha Marekani, Ufaransa, Uingereza, Japan, Ujerumani, Italia na Canada na Umoja wa Ulaya pia huhudhuria mkutano. Mwaka huu, Macron pia amemkaribisha kiongozi wa Australia, Burkina Faso, Chile, Misri, Senegal, Rwanda na Afrika Kusini kuongeza wigo la mjadala juu ya kukosekana usawa duniani.
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025
Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025
Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.